Norges billigste bøker

Bøker utgitt av Mkuki na Nyota Publishers

Filter
Filter
Sorter etterSorter Populære
  • av Marc Eichen
    328,-

    "The stories in Wind, Sand, Sky are short, but rich with meaning. Set on the East African archipelago of Zanzibar, these intimate portraits invite the reader to accompany characters navigating personal challenges within a rapidly changing terrain linked to socio-economic development, tourism, and even climate change. The book will be of interest to students of Swahili and East Africa, and more broadly those seeking to understand the cultural tensions and transformations associated with globalization.- Caitlyn Bolton, PhD Assistant Professor, Boston College"Wind, Sand, Sky by Marc Eichen is an incredibly thoughtful, unique and special bilingual English- Swahili work of art that both English and Swahili audiences will not only find thrilling, but also superbly depicting some segments of the Swahili-speaking society and cross-cultural engaging - a bonus for Kiswahili students as a sample source that intrinsically integrates the World-Readiness Standards for Learning Languages five goal areas (5 Cs): Communication, Cultures, Connections, Comparisons, and Communities.- Charles Bwenge, PhDInstructional Professor of African Languages, University of Florida

  • av Marc Eichen
    328,-

    Katika miaka zaidi ya 20 ya kufundisha Kiswahili kwa wageni, sija-kutana na andiko la hadithi nzuri kama hizi alizoandika mwandi-ihi Marc Eichen. Ufundi wake wa kutumia vitushi halisi, na kuvis-ana kwa maumbo mbalimbali ya lugha ni wa kipekee! Hadithi tatu hizi ni mchango mkubwa katika ufundishaji wa Kiswahili na fasihi kwa wenyeji na ugenini. Zitawasaidia pakubwa walimu pamoja na wanafunzi kufahamu uhondo wa lugha za Kiswahili na Kiingereza kupitia vipengele mbalimbali vya lugha aliyotumia mwandishi. Ndugu Suleiman Khalfan na Abdulrahman Ndegwa vilevile wametoa tafsiri ya haki, wakilenga kabisa alichodhamiria mwandishi wa hadithi zenyewe.- Dr. David KyeuCoordinator and Continuing LecturerCenter for African StudiesUniversity of California, BerkeleyHadithi katika kitabu cha Upepo, Mchanga, Anga ni fupi, lakini zenye maana. Hadithi hizi zimejikita katika mandhari ya visiwa vya Zanzibar, Afrika Mashariki, taswira hizi za wazi zinamwalika msomaji kuandamana na wahusika wanaopitia changamoto za kibinafsi ndani ya eneo linalobadilika kwa kasi kutokana na maendeleo ya kijamii na kiuchumi, utalii, na hata mabadiliko ya tabianchi. Kitabu hiki kita-wavutia wanafunzi wa Kiswahili na Afrika Mashariki kwa ujumla, na kwa upana zaidi, wale wanaotaka kuelewa mivutano ya kitamaduni na mabadiliko yanayohusiana na utandawazi.- Caitlyn Bolton, PhD Chuo cha Boston

  • av Sylvester Barongo
    419

    Meet the Founder of Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) as he takes you on a journey through his career in the oil and gas sector, and how important events and wars in the industry impacted Tanzania in the 1970s. He describes the actual events on the field, the challenges faced from the founding of TPDC to the beginning of exploration in Tanzania, the global trans- formation of oil and gas in real time, how it was dealt with, and how the Tanzanian economy has benefited greatly from the gas discovered during his tenure. Mr. Barongo presents an honest account of why various actions were made despite the fact that the outcome was unpredictable. The government trusted him and his strong team because of their faith, confidence, and belief, and they were left alone to make the vital decisions that led to Tanzania's oil and gas boom. Since then, Tanzania has attracted a slew of investors looking to engage in oil and gas, including the current Liquefied Natural Gas (LNG) project, which is valued at $30 billion.

  • av Ahmed Hussein Ahmed
    280

    Diwani hii imeandikwa kwa lahaja ya Kimvita, lahaja izungumzwayo jijini Mombasa. Lahaja hii imetumiwa na washairi maarufu pamoja na wazoefu wa tungo katika nyakati mbalimbali kihistoria kama vile Shaha Muyaka wa Muhaji, Ahmad Nassir Juma Bhalo, Abdilatif Abdalla na sasa Ahmed Hussein Ahmed. Hii ni lahaja yenye manyumbulifu anuwai kwa namna sauti zake zinavyoleta maana tafauti zinapotamkwa na ina ukwasi wa misamiati. Mashairi yaliyomo kwenye diwani hii yanaangazia mada mbalimbali zikiwemo, utamaduni wa mwandishi, masuala ya maisha, mijadala ya kielimu, maswali na majibu, taanasi and masuala ya kisasa. Vile vile mshairi ametumia mbinu mbalimbali za tasnifu ya tungo kwa mfano, tathlitha, tarbia na majibizano kufikisha ujumbe wake.

  • av John W. Wanyonyi
    355

    Mfanisi anaanza safari yake ya kujisaka punde akiwa shuleni katika madarasa ya malezi na chekechea. Anatembea katika dunia hii ambayo anajiona akiwa pekee katika ulimwengu wa familia za wazazi wote wawili, kinyume naye aliye na mama pekee. Dunia yake inampelekea kuwa na marafiki tofautitofauti kuanzia Moi's Bridge huko Kenya, Mwanza Tanzania na mara tena Nakuru na Mombasa nchini Kenya. Maisha yake, kimsingi yanaathiriwa pakubwa na ama marafiki zake au familia yake. Katika riwaya hii utakumbana na maudhui mseto yanayoathiri kizazi cha leo na kijacho. Imeyaangazia maudhui mbalimbali kama vile maisha katika ndoa, mahusiano ya vijana kwa vijana, mahusiano ya wazee kwa vijana na wazee kwa wazee, talanta, elimu, bidii na kazi, usaliti katika maisha, unafiki, siasa na uongozi n.k. Ni kazi inayomulika maisha ya leo na jinsi masuala ibuka yanavyoathiri jamii kwa namna hasi au chanya na ni kazi ya aina yake na ambayo hutajutia kuiweka mkononi kuisoma.

  • av Lucas Lubango
    355

    Usiku huo nilikuwa nasimamia maandalizi ya masomo ya usiku. Nikapigiwa simu na Rose, nikaipokea. Wakati naongea naye, nikawa natembea taratibu kama naelekea kwenye mabweni. Ghafla, nikaona taa za bweni wanalolala "Buibui" zinawaka na kuzima, nikajua ni hitilafu katika mfumo wa umeme. Nikataka kusogea ili nithibitishe kisha nitoe taarifa mapema kwa uongozi na matengenezo yafanyike. Nilisogea mpaka mlangoni, taa zikawaka moja kwa moja, na kwa kuwa kulikuwa na dalili za kuwemo mwanafunzi, nilitaka kujua kwanini hayupo darasani wakati wenzake wote walikuwa wana-jisomea. Nilingia nikakuta hali ya ukimya sana, nikatembea mpaka karibu na mwisho wa bweni, nilichokiona ni aibu kubwa! Huwezi amini, "Buibui" waliponiona wakadondosha khanga! Wakabaki kama walivyozaliwa..LUCAS GERVAS LUBANGO ni mwalimu wa masomo ya biashara alivesoma Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Kibaha (ECA). Elimu ya juu aliipata katika chuo kikuu cha Dares salaam, akisomea Shahada ya Ualimu katika Masomo ya Biashara. Bweni la Wasichana ni riwaya yake ya kwanza na imeshika nafasi ya pili kwenye Tuzo ya Safal Cornel.

  • av Mohammed Khelef Ghassani
    355

    Tungo nyingi zilizomo humu ziliandikwa baina ya robo ya mwisho ya mwaka 2010 na nusu ya mwanzo ya mwaka 2015. Hii ni miaka mitano ya mwanzo ya mshairi kuhamia na kuishi nchini Ujerumani - mbali na nyumbani kwao, Zanzibar. Ndani yake, kwa hivyo, muna muakisiko wa hisia za mgeni ugenini, akitayamani mengi mazuri ya kwao na akijutia kuyaacha nyuma yake. Ukweli ni kuwa wakati mtu anapoishi ugenini, ndipo hasa ile thamani ya kwao anapoitambua na kutaka kuitambulisha navo zaidi na zaidi. Ndipo hisia za kutambuwa kuwa ana kwao zinapopanda kiwango cha juu. Kutoka kipembe cha mbali, Mohammed Ghassanani anakuangalia kwao na kuyaona mambo ambayo alipokuwamo ndani yake, alikuwa hata hajui kama yapo. Chembilecho Wajapani: "Samaki hajijui kuwa amerowa!" Na sababu ya kutokujijuwa huko, kwa hakika, ni kwa kuwa yeye mwenyewe anaishi ndani ya maji muda wote.¿¿¿¿¿Mohammed Ghassani alizaliwa kisiwani Pemba mwaka 1977, ambako alikulia na kusomea had alipohamia kisiwani Unguja kwa ajili ya masomo na maisha mwaka 1996 a mwaka 2010 akahamia nchini Ujerumani, ambako ndiko anakoishi na kufanya kazi

  • av Enock Maregesi
    387,-

    Hii ni riwaya ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya inayozu-ngumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa, ya kud-hibiti madawa ya kulevya na ugaidi wa kimataifa, 'World Drugs Enforcement Commission' (WODEC); na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko.Inaelezea, kwa kinagaubaga, jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14; na kuzuia shehena (kubwa) ya madawa ya kulevya na malighai ya nyukilia: kwenda Afrika, Asia, Amerika, Ulaya - na kung'oa mizizi ya shirika la CS-14, lote, katika nchi za Hemisifia ya Magharibi - na duniani kwa jumla.Ukisoma kitabu hiki utajiuliza, "mwandishi huyu aliwezaje kusuka riwaya inayoufanya moyo kukuenda mbio, hata kukulazimu wakati mwingine kukiweka kitabu kando ili urudishe pumzi! Ukishakianza tu, hutakiacha kabla ya kujua mwisho wa vita hi kali ya kimataifa. Na kivutio kikubwa ni kuwa kiongozi wa vita hiyo kwa upande wa Umoja wa Mataifa ni Murphy Ambilikile, Mtanzania - Willy Gamba wa Karne ya 21.Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake cha kimataifa katika Tanzania. Lengo lake si tu kukata kiu ya wapenzi wa riwaya za kipelelezi na kufufua mwamko wa usomaji wa vitabu; ni kuleta, hali kadhalika, ufahamu na burudani ya kimataifa kwa wasomaji wa riwaya za kiswahili.Enock Maregesi ni gwiji wa vandishi wa riwaya za kijasusi na Kolonia Santita, imeweka kiwango kipya cha juu kitakachowaumiza vichwa waandishi wengine katika kutaka kukifkia.

  • av Idrissa Haji Abdalla
    355

    Sauti dhaifu ya kilio cha mwanamke ilinifikia pale nilipokuwa nimesimama karibu na vichaka vikubwa vilivyoshonana mbele yangu. "Hivi ni sauti ya binadamu kweli au ni mlio wa mnyama fulani?" Nilijiuliza swali hilo ingawa sauti ile niliyoisikia ilifanana sana na kilio cha mwanamke ambaye yuko katika maumivu makali. Hali fulani ya woga ilianza kuniingia polepole. Baada ya kuanza kupatwa na woga niliamua kumfuata bibi yangu ambaye nilimwacha akiendelea kukata kuni nyuma ya vichaka vingine vilivyokuwa kushoto kwangu.Baada ya kutembea kwa hatua zisizozidi kumi nilimwona bibi akinifuata. Hapo niliamua kusimamana kumsubiri ili nim-wulize juu ya ile sauti niliyoisikia. "Nimesikia sauti kama ya mtu ambaye alilia kwa muda mrefu na mwisho akapoteza nguvu". Bibi yangu alieleza hivyo kabla ya mimi kumweleza. "Hata mimi nilisikia ile sauti, tena inaelekea ni sauti ya mwanamke. Hivi unavyoniona ndio nimeamua kutofuata tena hizo kuni, maana nimeanza kuogopa."

  • av Mfaume Hamis Mfaume
    355

    Sinaye Baba ni diwani yenye mashairi ya kimapokeo yaliyobeba sauti ya kilio cha kundi la watu walio- kosa malezi kutoka kwa wazazi. Sauti hizo zilizojaa jitimai, zinaonesha ni kwa namna gani kukosa malezi kunavyoweza kuathiri jamii kwa kuifanya ipotoke zaidi. Hivyo diwani hii inamfungua macho msomaji, ili aweze kuona ni kwa namna gani malezi ni jukumu la jamii nzima.Diwani hii haijaacha kitu kwani imebeba masuala mbalimbali katika jamii, burudani, siasa na uchumi.

  • av Jane Rarieya
    548,-

    This book is a result of the Kenya National Education conference held In 2019 organised by the Aga Khan University-Institute for Educational Development, East Africa. The conference focused on contextually relevant issues affecting education in East Africa. The conference was held against the backdrop of a myriad of changes and reforms in the education sector in Kenya. These reforms have consistently not achieved the desiredoutcomes. Indeed some argue that if Kenya is to achieve Vision 2030 which aims to transform the country into a newly industrialising middle-income country providing a high quality of life to all its citizens in a clean and secure environment, education reform must be effective.

  • av Abdulrazak Gurnah
    338

    Swahili translation of the Nobel-prize winning author's 1994 novel Paradise.¿Mzaliwa wa Afrika ya Mashariki, Yusuf anaondoka kwao kwa ghafla akiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Haimjii hata kwa sekunde moja, kwamba atakuwa mbali na wazazi wake kwa muda mrefu, na wala hafikirii kuuliza atarudi lini au kwa nini safari iliandaliwa kwa ghafla kiasi kile. Yusuf anaamini kuwa anamsindikiza Ami Aziz lakini ukweli ni kwamba 'ami' yake ni Mfanyabiashara, tena tajiri mkubwa, na Yusuf amewekwa rehani ili kulipia madeni ya baba yake. Yusuf anajikuta anasafiri katika miji na vitongoji vingi vingine ambako anakutana na watu wa kila namna. Anabalehe na kukua kwenye dunia inayobadilika kwa kasi kutokana na kuingia kwa ukoloni na udhalimu wake na jamii kuharibika kwa kuvurugwa kwa utamaduni wake. Hii ni tafsiri ya kwanza kwa riwaya za Abdulrazak Gurnah katika lugha ya Kiafrika.Abdulrazak Gurnah ni mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi ya mwaka 2021. Ameandika riwaya kumi ikiwemo hii ya paradise. Gurnah ni Profesa wa Masomo ya Kiingereza na Fasihi za Kikoloni katika Chuo Kikuu cha Kent.Dkt. Ida Hadjivayanis ni Mhadhiri Mwandamizi wa Masomo ya Kiswahili SOAS, Chuo kikuu cha London. Ametafsiri riwaya kadhaa kwa Kiswahili na Kiingereza.

  • av Msia Kibona Clark Kibona Clark
    548,-

    From Tamale to Paris, Hong Kong to Texas and back to Ouagadougou, this collection of scholarly chapters, poetry and personal essays theorizes the lives of African women and people of marginalized genders on the continent and the diaspora. The book is an important intervention in conversations on social movements and their convergence with digital media and other praxis tools. The contributors bring a refreshing perspective to discourses on African feminists' agency and how this manifests in their organizing in the physical world and in the digital public sphere. The volume demonstrates the relationships between the struggles of African feminists on the continent and the diaspora charting pathways for African scholars to build coalitions and work toward collective liberation.

  • av Peter Adwork Nyaba
    479,-

  • av Anna Samwel Manyanza
    246

  • av Samuel Andema
    840,-

  • av Shoonie Hartwig
    296,-

  • - na hadithi nyingine
    av Ally Yusufu Mugenzi
    296,-

    Hadithi hizi pia zimekuwa zikitumiwa na wakuza mitaala wa Kiswahili nchini Rwanda shuleni na zimewafurahisha wapenzi wengine wa fasihi nje ya shule.

  • av E a Musiba
    280

  • av Shaaban Robert
    355

  • av Shaaban Robert
    355

  • av Zainab Alwi Baharoon
    280

  • av Ali Hilal
    280

  • av Dotto Rangimoto
    264

  • av Lubacha Deus
    264

    At the age of twelve, a resilient Wema, whose mother commits suicide in her favour is caught in a web of a vicious stepmother and inattentive father and is forced to endure grief with guts and determination. Despite life cruelties, she keeps hope alive, not allowing herself to be disillusioned and bitter. A child of immense strength, Wema is proof that difficult circumstances can be overcome…

  • - Tafsiri ya Amakuru Ga Kiziba na Abamkama Bamu
     
    726,-

  • Spar 10%
    - A Tanzanian President Remembers
    av Benjamin William Mkapa
    554,-

  • - A Freed Slave
    av Nahida Esmail
    264

    In 1838, 14 year old Samuel, a domestic worker in the United States, is excited to accompany his boss, Mr Wilson, on a voyage to East Africa. Mr Wilson plans to search for the source of the river Nile. During the long voyage, many unexplained events turn Samuel's life upside down. On his arrival in Zanzibar, Samuel is horrified to be sold into slavery. He faces many challenges, which he records in his diary, and applies his wits and education to overcome them. Follow Samuel's ordeal as he struggles to obtain his freedom.

  • av Isaria N Kimambo
    500

    Tanzania, the land and the people have been subject of a great deal of historical research, but there remains no readily accessible and concise history of the country. The aim of this volume is to fill that void. A New History of Tanzania takes its name from a lecture series introduced at the University of Dar es Salaam by Professor Isaria Kimambo in 2002. Prior to that, a book titled, A History of Tanzania, had been published in 1969 by East African Publishing House in Nairobi for the Tanzania Historical Association. That book is currently out of print and this is not a reprint. In this book, Prof. Kimambo has been joined by two other colleagues; Prof. Gregory H. Maddox of Texas Southern University, Houston (USA) and Salvatory S. Nyanto, a Tanzanian, Lecturer at the University of Dar es Salaam, and a Ph.D. candidate at the University of Iowa (USA); together they have produced an outline history of Tanzania that covers all important aspects from antiquity to the present that is different from and richer than its predecessor. Sources from the fields of archaeology, anthropology, biology, genetics and oral tradition have been used to produce this excellent book.A New History of Tanzania is a timely contribution to academic requirements for teaching and learning Tanzania's history. It is also a possible exemplar to the writing of other countries' histories, departing as it does, from the traditional historiography that is influenced by colonial and postcolonial apologists of nefarious external influences on Africa's history. It will also interest other Tanzanians and visitors to Tanzania who are interested in understanding the country from when it was a territory with more than one hundred and twenty ethnic groups, to a nation with an unmistakable identity as it marches forward.

Gjør som tusenvis av andre bokelskere

Abonner på vårt nyhetsbrev og få rabatter og inspirasjon til din neste leseopplevelse.